Ads (728x90)

Tabs

Page

russell-wilson-ciara-white-house
Russell Wilson ambaye ni Mpenzi wa msanii wa rnb Ciara amesema hata baada ya miezi miwili kwenye mahusiano ya motomoto yeye na Ciara hawajakutana kimwili aka hawaja DO.
Kwenye interview aliyofanyiwa na kanisa la
San Diego Rock mjini California, Russell amesema wanaimani kuwa ikiwa muda umefika Mungu atawajulisha tu na ndio wanachotegemea zaidi kwenye mahusiano yao.
Wilson amesem “Kama umaweza kuishi na kumpenda mtu bila ngono basi kweli unampenda huyo mtu”.

Post a Comment