Ads (728x90)

Tabs

Page

wpid-diamond
Diamond Platnumz na Ali Kiba
Kwenye interview tofauti walizofanyiwa watu hawa maarufu wa muziki wa bongo fleva wote wamekiri kuwa hawana tatizo kati yao yani kwa maneno mengine hawana BEEF.
Hii ni tofauti na inavyochukuliwa na mashabiki zao ambao
wamefikia kiwango cha kufanya kampeni ya kushusha wasanii hawa ilitu kuwashindanisha.
Ali kiba akiwa kwenye kituo cha Citizen alisema ” Mimi na Diamond hatujawahi kukutana sehemu tukagombana
Kiba aliendelea kusema “Hapendi kufananishwa na Diamond sababu kila mtu ana muziki na talent yake
 Kwenye Interview na Xxl wiki hii Diamond amedai kwamba ajawahi kuwa na beef nae hata siku moja… na kuhusu Team za Mitandaoni Diamond amesema “Sioni kama kuna ubaya wowote, kila mtu ana maamuzi kumchagua mtu anayemtaka yeye kumshabikia, huwezi kumlazimisha mtu”
Wawachukue msanii fulani na msanii fulani wawashindanishe na wasanii wa nje, ukiwashindanisha wasanii wa Tanzania haiwezi kusaidia Industry yetu.

Post a Comment