Ads (728x90)

Tabs

Page

the-game

Rapa The Game amesema bado analipwa pesa nyingi tu na kundi lake la zamani la G Unit. Akiongea na Tmz The Game amesema “Zaidi ya dola milioni 30 na bado naendelea kulipwa, sitengenezi pesa kwenye radio ila natengeneza pesa mtaani”.

Fahamu The Game hakuwa kwenye kundi la G-Unit walivyotangaza kurudi pamoja mwaka 2014 ba bado haelefani na rapa 50 Cent.

Post a Comment