Ads (728x90)

Tabs

Page

Stonebwoy
Msanii wa Ghana Stonebwoy aliyeshinda tuzo ya Best International Act Africa ya BET  2015 amesema msanii mwenzake kutoka Ghana ‘Sarkodie’ ndio Jay Z wa nchi yao.
Kwenye interview na jarida la
Noisey, alisema “tuna wimbo tumefanya na JD Era na Sarkodie ambaye ndio  Jay Z wa Ghana.”
Stonebwoy amesema wimbo wake wa Hills and Valley  na dili la lebel ya Samini ndio vimefungua milango y mafanikio yake.

Post a Comment