Ads (728x90)

Tabs

Page

.
.
Kwa watu wangu wa soka la Tanzania kama topic ya Pengo la mchezaji Mrisho Khalfan Ngassa kuonekana Yanga baada ya mchezo huyo kwenda kuichezea timu ya Freestate Stars inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Afrika Kusini maarufu kama
PSL
Kama iliwahi kukufikia basi imemfikia pia mchezaji wa Yanga FC ,Hamis Tambwe ambaye ameeleza kwamba...’Unajua timu ni kuwa pamoja na mnapokua lazima mzoeane sasa Ngassa tulikuwa tumeshazoeana kwa hiyo mwingine anakuja tutazoeana tu vile vile‘ – Hamis Tambwe
Ngassa 1‘Hata mwingine anapokuja kujiunga na timu yetu tutafanya mazoezi mengi tu kwa pamoja na tutazoeana tu vile vile  tutamsahau Ngassa lakini naye alikuwa na mchango mkubwa sana Yanga FC’ – Hamis Tambwe

Post a Comment