Ads (728x90)

Tabs

Page


.
.
Baada ya kuvunjwa kwa baraza la halmashauri ya Manispaa ya IIala July 6,2015 na aliyekuwa meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Slaa kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepost
miongoni mwa kazi zitakazotekelezwa kwa wananchi ikiwemo huu ujenzi wa soko la kisutu  ambalo  muda si mrefu litaanza kufanyiwa maandalizi ya kujengwa.
‘Soko la Kisasa la Kisutu Ujenzi wake utaanza muda si mrefu kwa mkopo wa TIB,litamilikiwa kwa 100% na halmashauri ya manispaa ya Ilala Nitakumbukwa Kwa Lipi’aliandika @jerrysilaa

Post a Comment