Ads (728x90)

Tabs

Page

Diamondz
Msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za burudani nchini Uganda [ Uganda Entertainment Awards 2015 [UEA] ].
Diamond Platnumz yupo kwenye kipengele cha
Best African Act akichuana na wasanii Wiz Kid wa Nigeria, Patoranking wa Nigeria, Tiwa Savage wa Nigeria na Kundi la Active.
Tuzo zitafanyika september 4 2015 kwenye hoteli ya Munyonyo Common Wealth Resort mjini Kampala nchini Uganda.
UEA-1 UEA-2

Post a Comment