Ads (728x90)

Tabs

Page



jaguarmakeitrain
Jaguar amekuwa  miongoni mwa wasanii wenye pesa nyingi zaidi Afrika mashariki na hii ni kutokana na muziki na biashara tofauti anazofanya na kwenye show yake huko Mombasa aliamua kurudisha fadhila kwa mashabiki wa kuwarushia pesa.
Jaguar aliwarushia mashabiki pesa akiwa kwenye tour ya Mseto na kupitia Instagram alielezea sababu ya kufanya hivyo.
Money rain………always share with my fans“. Jaguar_By_His_Car

Post a Comment