Ads (728x90)

Tabs

Page

Mchezo wa soka ni mchezo ambao hupendwa na watu wengi ila kinachoshangaza wachezaji wa timu zote mbili ucheza kwa bidii kiasi kwamba inaweza tokea chuki endapo mmoja kati yao atakuwa anazidiwa mbinu na mchezaji wa timu pinzani. Kumekuwa kukifanyika matukio mengi katika soka ila kutokana na muamuzi kutokuona baadhi ya matukio hayo, Shirikisho la soka la nchi husika huchukua hatua kwa vitendo hivyo visivyo vya kiungwana kupitia kanda za video.

Post a Comment