Ads (728x90)

Tabs

Page

joh makini
Kupitia mahojiano aliyofanyiwa na Planet Bongo ya EARadio, Joh Makini amesema ” video ya Don’t Bother Ft rapa AKA aliyofanya na muongozaji Justin Campos wa kampuni ya Gorrilla Films ya Afrika Kusini imegharimu jumla ya dola 15000 ambazo ni sawa ya milioni 32 za Kibongo “.
Joh Makini aliendelea kusema kuwa  wimbo wa Don’t Bother umevunja rekodi ya nyimbo zake zote kwa kutrend Tanzania na nje zaidi na kwa muda mrefu.

Post a Comment