Ads (728x90)

Tabs

Page

Papa Francis wa kanisa katoliki duniani ameanza ziara yake katika nchi za Afrika na leo alikuwa Kenya.
Papa Francis alilakiwa na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta katika uwanja wa ndege uliopo Nairobi na kuwashukuru Wakenya kwa kumkaribisha vizuri huku akiwatakiwa baraka tele za Mwenyezi Mungu.
Nchi nyingine za Afrika ambazo Papa Francis atatembelea ni pamoja na Uganda pamoja na Jamuhuri ya Afrika ya Kati.
12310702_1176227699072448_7023449470200743242_n

PAPA1
12310605_1176169872411564_3224816055986889371_n

12310524_1176195942408957_6907347762988498579_n

12308666_1176212932407258_4697046452725321664_n
12308425_1176225639072654_7020017918906803636_n

12301729_1176199365741948_6806569745452632934_n

12301629_1176169602411591_6230778873137926893_n

12295369_1176227685739116_4124924506738780839_n

12289727_1176225469072671_9160892973371525038_n

12289632_1176195512409000_8323891445956403269_n



12294743_1176223492406202_249316813490834097_n



Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line

Post a Comment