Ads (728x90)

Tabs

Page

50-cent
Rapa 50 Cent ameamrishwa na mahakama kulipa dola milioni 5 kama faini ya kosa la kutoa na kusambaza mkanda wa ngono wa mwanamke aliyezaa na rapa Rick Ross
Mahakama imemuamrisha 50 Cent amlipe Lastonia Leviston dola milioni
2.5 kama faini ya kutumia picha yake kwenye mkanda huo na dola milioni  2.5 kama faini ya msongo wa mawazo alioupata mama huyo baada ya mkanda huo kuonekana dunia nzima.
50 Cent hajawahi kuwepo mahakamani wakati wa kesi hii ila bado mahakama inaendelea kuangali faini nyingine anayotakiwa kulipa 50 Cent kwa kosa alilofanya

Post a Comment