Ads (728x90)

Tabs

Page

Kwa sababu muziki unatoboa mipaka kimataifa, kuna haja hata watu wetu wa Ulaya na Marekani nao wafahamu tafsiri ya kinachoimbwa ukiachana na fleva ya mdundo wenyewe.
Saa chache zimepita toka Diamond Platnumz aachie ngoma ya ‘Utanipenda‘, lakini kingine kizuri ambacho amekifanya ni kuweka pia wimbo huo ukiwa na mashairi ya kiingereza (subtitle) kwa hiyo mbali ya fleva ya wimbo, kama hujui kiswahili basi kuna subtitle mwanzo mwisho inayotafsiri mashairi ya wimbo huo.
Unaweza kuplay hapa kuucheki mtu wangu.

Post a Comment