Ads (728x90)

Tabs

Page

Orodha ya mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Dk. Magufuli.
Orodha ya mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Dk. Magufuli.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri litakalomsaidia kutekeleza majukumu yake. Baraza hilo lina Wizara na mawaziri 18 na manaibu waziri 15. Hata hivyo mawaziri wanne hakuwataja na kudai atawaongeza hapo baadaye. Amesema hakuta kuwa na semina elekezi kwa mawaziri kabla ya kuanza kazi ikiwa na staili yake ya kubana matumizi. Fedha zilizotengwa kwa ajili ya semina hiyo zitatumika katika matumizi mengine kwenye elimu. Zaidi soma taarifa yake hapo juu akizungumza na waandishi wa habari.

Post a Comment