Ads (728x90)

Tabs

Page

Zikiwa zimebaki siku 11 kabla yakufanyika kwa Uchaguzi Mdogo wa ngazi ya ubunge katika jimbo la Arusha kampeni bado zinaendelea huku Godbless Lema akiendelea kutetea kiti  chake
Mikutano  ya hadhara inaendelea huku Lema akinadi Sera zake nakuomba kura kwa wananchi wa Arusha, hapa nimekuwekea picha za mkutano huo ambao umefanyika katika eneo la stendi kuu  ya mabasi jijini Arusha.
Ratiba ya Tume ya NEC imeonesha Uchaguzi wa Mbunge Jimbo la Arusha Mjini utafanyika December 13 2015, sababu za kusogezwa mbele kwa chaguzi hizo ni kutokana na kifo cha Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo, Mzee Estomih Jonas Mallah kufariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
.
.
.
.Godbless Lema akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha
.
.
.
.
.
.Wananchi wa mkoa wa Arusha wakisikiliza sera za Godbless Lema
.
.

Post a Comment