Ads (728x90)

Tabs

Page

wpid-wp-1445245240973
Muimbaji wa Nigeria Wizkid anatarajia kufanya show kwenye jukwa moja na msanii Alicia Keys na mchekeshaji Chris Rock.
Blogs za Nigeria zinasema hii ni kutokana na ukubwa wa wimbo wake wa Ojuelegba Remix Ft Drake uliopata umaarufu mkubwa nje na ndani ya Africa.
Wizkid atafanya show kwenye hafla ya 12 ya kuchangisha pesa za kampeni ya Keep a Child Alive inayosimamiwa na Alicia Keys.
Kama hufahamu kampeni ya Keep a Child Alive ilianzishwa na Alicia Keys 2003 ikiwa ni kampeni kubwa duniani ya kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa watoto.

Post a Comment