Ads (728x90)

Tabs

Page

Davido-Post
Mwimbaji wa Nigeria Davido amekanusha kuwa thamani yake ni dola milioni 14 ambazo ni kama  Naira bilioni 2.7.
Davido amesema maneno haya kwenye interview na kipindi cha ‘Real Talk’ alivyoulizwa na Stephanie Coker kama anaweza kutaja thamani yake.
Davido pia amekiri kuwa hakuruka kutoka kwenye ndege akiwa anafanya video ya ‘The Sound’ aliyofanya na Uhuru. Kuhusu kitu cha gharama alichonunua hivi karibuni, Davido amesema ni saa ya Rolex aliyomnunulia producer Shizzi.

Post a Comment