Ads (728x90)

Tabs

Page

soulja_boy_87
Rapa Soulja ameweka wazi kuwa kama Kanye West atapata nafasi ya kugombani urais nchini Marekani basi kura yake atampa rapa huyu.
Kanye anatarajia kugombani urais mwaka 2020 na Soulja boy kasema atamuunga mkono.
Sababu ya kumpa kura yake Kanye ni kutokana na kwamba Soulja boy alitetewa na Kanye West dhidi ya rap legend Ice T wakati anaanza muziki akiwa na miaka 19 pale ambapo Ice T alimponda sana Soulja boy na style yake ya kurap.

Post a Comment