Ads (728x90)

Tabs

Page

VIDA]
C.E.O wa Bayern Munich ame-conferm kuhusu usajili wa Vidal kujiunga na club yao leo hii. Karl-Heinz Rummenigge ametoa taarifa rasmi kwa vyombo habari kuhusu uhamisho huo.
“Ninaweza kuthibitisha kwamba kimsingi tumefanikiwa kufikia muafaka kati yetu na Juventus pamoja na Vidal. Kilichobaki ni kupitia vipimo vya afya na kusaini mkataba wenyewe. Tunategemea mambo yataenda vizuri na haraka ili ajiunge na mazoezi ya club wiki ijayo”.
Vidal ameisaidia club yake ya Juventus kucheza hadi fainali ya UEFA na pia timu yake ya taifa kuchukua kombe la Copa America.

Post a Comment