Ads (728x90)

Tabs

Page

kanye-west-fashion-yeezysKulikuwa na competition where people had to vote kuamua nani awe most stylish man of the year 2015 and Kanye West akashinda kwa kura nyingi mnoo 520,119.But Kanye amesaidiwa sana na the Kardashians ambao huko Tweeter wana millions of followers so time ya mwisho Kim ,Khloe na Kriss Jenner walipush even harder kwa Fans wazidi kuvote na tunawajua wanavyopendwa.Namba mbili ilishikwa na model  Lucky Blue kwa kura 445,073.
Kanye ana deserve huu ushindi maana kati ya mwaka Kanye amenyanyuka kwenye issue za Fashion basi ni mwaka huu ambao personal style yake tu imekuwa kivutio kwa wengi,Uzinduzi wa raba zake za Adidas Yeezy 350 ambazo ndo zimeshinda shoe of the year kwa mwaka huu,Kingine ni Fashion show yake kwenye New York Fashion Week ambayo ilikuwa successful.17-yeezy.w529.h352
Season Two ya collection yake ya Yeezy
NEW YORK, NY - JUNE 01: Kanye West, Yeezy Adidas shoe detail, attends the 2015 CFDA Awards at Alice Tully Hall at Lincoln Center on June 1, 2015 in New York City.  (Photo by Taylor Hill/FilmMagic)
Yeezy Boosts

Post a Comment