Serikali ya China inatoa zawadi kubwa kwa wale ambao watatoa taarifa kuhusu kuwepo kwa majasusi wa kigeni.
Wakaazi wa mji mkuu wa China huenda wakalipwa hadi dola 72,000 kwa kutoa taarifa za siri.
Maafisa katika mji huo wanasema kuwa watu wanahitajika kusaidia katika "ujenzi wa ukuta wa chuma ya kukabiliana na maovu na kuchukua tahadhari dhidi ya majasusi".
Post a Comment