Teknolojia inatufungulia mapya kila siku.. Nakumbuka simu za kwanza
za mkononi zilikuwa kubwa halafu nzito, baadae ikaja fashion ya simu
ndogo ndogo, zile kubwa watu wakawa wanaziita ‘mshindi’ ambalo ni jina
la sabuni… Sasa hivi tunaona fashion ya simu kubwa
inarudi mdogomdogo.
inarudi mdogomdogo.
Sean Miles anaingia kwenye historia, anaingia kwenye headlines pia..
yeye kagundua hii simu ambayo imetengenezwa kwa majani kabisa pamoja na
mchanganyiko wa vitu vingine vilivyochakaa ama vilivyoharibika.

Unaambiwa cover ya simu hii ukiiangalia ni kama majani kabisa.

Vipi mtu wangu ukikutana na hii simu pale Kariakoo an Mlimani City kuna kitu kitakufanya usiipende labda?
Post a Comment